Wasanii wa Kikundi cha Ngoma za Asili cha Jembe kutoka mkoani Dodoma wakiburudisha,
.
Wadau wa Jukwaa la Sanaa wakifuatilia burudani kutoka Kundi la Sanaa la Jivunie Tanzania.
Pichani Msanii wa kundi la ngoma za asili, Juma Nkonko wa kundi la Mwenge kutoka mkoani Tabora akionyesha umahiri wa kucheza na nyoka kama alivyonaswa na kamera yetu katika fainali hizo.
safu ya wapiga ngoma za asili.
Wasanii wa Ngoma za Asili kutoka Wilaya
ya Sikonge, Mwanamkonko(kulia) akiongoza kuchezea Nyoka.
Wanamuziki wa Ngoma za Asili za Maswezi wakiwa katika Onyesho.
Wanamuziki wa Ngoma za Asili za Maswezi wakiwa katika Onyesho.
Wanamuziki wa Ngoma za Asili za Maswezi wakiwa katika Onyesho.
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mkoani Tabora wakicheza Ngoma Za Asili.
Msanii wa Ngoma za Asili Ally Mango, akiwa kwenye Tamasha.
Wasanii wa Ngoma za Asili wakiwa katika Onyesho
Msanii wa Ngoma za Asili Ally Mango, akiwa kwenye Tamasha.
Msanii wa Ngoma za Asili Ally Mango,
akionyesha Umahili wake katika Kucheza na Nyoka katika Onyesho.
Wasanii wa Ngoma ya Radu ya Kabila la
Kinyamwezi, wakiwa katika Onyesho
Ally Mango akionysha Jarida la wasanii.