Jumamosi, 7 Novemba 2015

NGOMA ZA ASILI


Wasanii wa Kikundi cha Ngoma za Asili cha Jembe kutoka mkoani Dodoma wakiburudisha,
 .
Baadhi ya wasanii wazee wa Kundi la Sanaa la Jivunie Tanzania wakicheza Ngoma ya Manyanga 


Wadau wa Jukwaa la Sanaa wakifuatilia burudani kutoka Kundi la Sanaa la Jivunie Tanzania.

 
Pichani  Msanii wa kundi la ngoma za asili, Juma Nkonko wa kundi la Mwenge kutoka mkoani Tabora akionyesha umahiri wa kucheza na nyoka kama alivyonaswa na kamera yetu katika fainali hizo.
  
Mpiga ngoma akipiga ngoma kwa hisia kali katika maadhimisho ya siku ya utumishi wa umma.

Mpiga ngoma akipiga ngoma kwa hisia kali.

wasichana wakisakata ngoma ya asili

wasichana wakisakata ngoma ya asili

wacheza   ngoma wakitoa burudani.

wacheza ngoma wakitoa burudani.

wacheza ngoma za asili wakiburudisha

wacheza ngoma za asili wakiburudisha
Msanii wa nyimbo zenye vionjo vya Kitanzania Batarokota.

safu ya wapiga ngoma za asili

safu ya wapiga ngoma za asili.

 Wasanii wa Ngoma za Asili kutoka Wilaya ya Sikonge, Mwanamkonko(kulia) akiongoza kuchezea Nyoka.
 Wanamuziki wa Ngoma za Asili za Maswezi wakiwa katika Onyesho. 
Wanamuziki wa Ngoma za Asili za Maswezi wakiwa katika Onyesho.
Wanamuziki wa Ngoma za Asili za Maswezi wakiwa katika Onyesho.
 Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mkoani Tabora wakicheza Ngoma Za Asili.
 Msanii wa Ngoma za Asili Ally Mango, akiwa kwenye Tamasha.
Wasanii wa Ngoma za Asili wakiwa katika Onyesho
 Msanii wa Ngoma za Asili Ally Mango, akiwa kwenye Tamasha.
 Msanii wa Ngoma za Asili Ally Mango, akionyesha Umahili wake katika Kucheza na Nyoka katika Onyesho.

Wasanii wa Ngoma ya Radu ya Kabila la Kinyamwezi, wakiwa katika Onyesho

 Ally Mango akionysha Jarida la wasanii.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni