Hii ni sehemu ya madhari ya jiji la Mwanza lenye milima ya mawe
ARCUYO kwa kushirikiana na Hekima City Academy kwa pamoja ukuza vipaji vya vijana katika vyanja za michezo katika jiji la Mwanza.Picha juu wachezaji wa timu ya Hekima Fc.
NGUO ZA ASILI NA UREMBO WINGINE KWA BAADHI YA NCHI ZA AFRIKA!
MAASAI/TANZANIA/KENYA
ZULU/AFRIKA YA KUSINI
ETHIOPIA
UGANDA
Nimependezwa/napendezwa kuona baadhi ya nchi na makabia wanaendeleza
mavazi yetu ya asili....Ngoja nami nitafuta vazi la asili la kingoni:-)
ARCUYO kwa kushirikiana na Hekima City Academy kwa pamoja ukuza vipaji vya vijana katika vyanja za michezo katika jiji la Mwanza.Picha juu wachezaji wa timu ya Hekima Fc.
Tazama
kwa umakini Bibi na Bwana walivyo pendeza Wamevalia Nguo za kawaida
kabisa lakini zenye kiwango cha juu, ukiwatazama hawa wameongezeka uzuri
zaidi ni kutokana na haya mavazi yao
Huu ni ubunifu wa Hali ya Juu tazama Nguo ya Kiafrika ikiwa imefanana kabisa na ua ambalo amebeba
Wewe
unaesoma hii sasa hivi hii kitu hebu tazama kwanza .. na haujaoa wala
kuolewa unangoja nini sasa? hawa jamaa wamependeza sana na mavazi yao
ambayo yamebuniwa ki Afrika zaidi
Sio lazima mpaka mvae Shela...
Hii
harusi moja kwa moja itakuwa imefungiwa kijijini lakini pia hawa watu
wanaonekana ni wa mjini ingawa hapa wamevalia mavazi yao ya asili ya
Kiafrika katika Harusi yao.
Amependeza hajapendeza?
Ukiangalia
kwa umakini vazi hili la huyu binti lina mambo mengi sana, kwanza
ukitazama hapa lina manyoya ya ndege halafu kisha inapendeza sana hapa
akikolezea na hii nyeupe ... hebu rudini jamani ambao hamjaoa wala
kuolewa hii ni nafasi yenu
Binti wa Kizungu akiwa ki Afrika zaidi
Sitii neno
Hebu watazame hawa kuanzia juu mpaka chini nazani na wewe utapata kitu hapa...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni